Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Kwa maana hili ndilo agano+ nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,”+ asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+

  • Zekaria 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitawaleta ndani, nao watakaa katikati ya Yerusalemu;+ nao watakuwa watu wangu,+ nami nitakuwa Mungu wao katika ukweli na katika uadilifu.’ ”+

  • Waebrania 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “ ‘Hili ndilo agano nitakalofanya kwao baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika mioyo yao, nami nitaziandika katika akili zao,’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki