Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Nami nitatimiza agano langu kati yangu mimi na wewe+ na uzao wako baada yako kulingana na vizazi vyao kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo,+ ili kujionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.+

  • Yeremia 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nitawapa moyo wa kunijua,+ kwamba mimi ni Yehova; nao watakuwa watu wangu,+ nami nitakuwa Mungu wao, kwa maana watarudi kwangu kwa moyo wao wote.+

  • Ezekieli 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ili watembee katika sheria zangu na kushika maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda;+ na ili wawe watu wangu kwelikweli+ na ili mimi mwenyewe niwe Mungu wao.” ’+

  • Ezekieli 37:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na maskani yangu kwa kweli itakuwa juu yao,+ nami hakika nitakuwa Mungu wao, na wao wenyewe watakuwa watu wangu.+

  • Waebrania 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki