Zaburi 103:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kama vile mashariki ilivyo mbali sana na magharibi,+Ndivyo ameweka makosa yetu mbali sana na sisi.+ Ezekieli 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Makosa yake yote ambayo ametenda—hayo hayatakumbukwa juu yake.+ Ataendelea kuishi kwa uadilifu ambao ametenda.’+ Mika 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Atatuonyesha rehema tena;+ atayatiisha makosa yetu.+ Nawe utazitupa dhambi zao zote+ katika vilindi vya bahari. Waebrania 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Yesu pia, ili apate kuwatakasa+ watu kwa damu+ yake mwenyewe, aliteseka nje ya lango.+
12 Kama vile mashariki ilivyo mbali sana na magharibi,+Ndivyo ameweka makosa yetu mbali sana na sisi.+
22 Makosa yake yote ambayo ametenda—hayo hayatakumbukwa juu yake.+ Ataendelea kuishi kwa uadilifu ambao ametenda.’+
19 Atatuonyesha rehema tena;+ atayatiisha makosa yetu.+ Nawe utazitupa dhambi zao zote+ katika vilindi vya bahari.