Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+

  • Zaburi 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu na maasi yangu.+

      Unikumbuke kulingana na fadhili zako zenye upendo,+

      Kwa ajili ya wema wako, Ee Yehova.+

  • Isaya 43:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Mimi—mimi ndiye Yeye anayefuta+ makosa+ yako kwa ajili yangu mwenyewe,+ na dhambi zako sitazikumbuka.+

  • Ezekieli 33:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hakuna yoyote kati ya dhambi zake alizozitenda itakayokumbukwa juu yake.+ Yeye ameendelea kutenda haki na uadilifu. Hakika ataendelea kuishi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki