Ayubu 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana macho yake yako juu ya njia za mwanadamu,+Naye huziona hatua zake zote. Zaburi 90:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umeyaweka makosa yetu moja kwa moja mbele zako,+Mambo yetu yaliyofichika mbele za uso wako unaong’aa.+ Methali 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+ Methali 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,+ yakiwaangalia wabaya na wema.+ Yeremia 32:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 mkuu katika shauri+ na mwingi katika matendo,+ wewe ambaye macho yako yamefunguliwa juu ya njia zote za wanadamu,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake na kulingana na matunda ya matendo yake;+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
8 Umeyaweka makosa yetu moja kwa moja mbele zako,+Mambo yetu yaliyofichika mbele za uso wako unaong’aa.+
19 mkuu katika shauri+ na mwingi katika matendo,+ wewe ambaye macho yako yamefunguliwa juu ya njia zote za wanadamu,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake na kulingana na matunda ya matendo yake;+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+