Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana macho yake yako juu ya njia za mwanadamu,+

      Naye huziona hatua zake zote.

  • Zaburi 90:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Umeyaweka makosa yetu moja kwa moja mbele zako,+

      Mambo yetu yaliyofichika mbele za uso wako unaong’aa.+

  • Methali 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+

  • Methali 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,+ yakiwaangalia wabaya na wema.+

  • Yeremia 32:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 mkuu katika shauri+ na mwingi katika matendo,+ wewe ambaye macho yako yamefunguliwa juu ya njia zote za wanadamu,+ ili kumpa kila mmoja kulingana na njia zake na kulingana na matunda ya matendo yake;+

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki