Zaburi 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Umeuchunguza moyo wangu, umefanya ukaguzi wakati wa usiku,+Umenisafisha; utagundua kwamba sijapanga hila.+Kinywa changu hakitafanya kosa.+ Yeremia 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+
3 Umeuchunguza moyo wangu, umefanya ukaguzi wakati wa usiku,+Umenisafisha; utagundua kwamba sijapanga hila.+Kinywa changu hakitafanya kosa.+
17 Kwa maana macho yangu yako juu ya njia zao zote. Hawakufichwa kutoka mbele zangu, wala kosa lao halikufichwa kutoka mbele za macho yangu.+
13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+