Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana, kwa habari ya Yehova, macho+ yake yanaenda huku na huku duniani+ kote ili aonyeshe nguvu zake kwa ajili ya wale ambao moyo+ wao ni mkamilifu kumwelekea yeye. Umetenda kwa upumbavu+ kwa habari hii, kwa maana tangu sasa na kuendelea kutakuwa na vita juu yako.”+

  • Ayubu 34:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana macho yake yako juu ya njia za mwanadamu,+

      Naye huziona hatua zake zote.

  • Zaburi 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kutoka mbinguni Yehova ametazama,+

      Amewaona wana wote wa binadamu.+

  • Zaburi 66:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Anatawala kwa nguvu zake mpaka wakati usio na kipimo.+

      Macho yake mwenyewe yanaendelea kuyatazama mataifa.+

      Nao wale ambao ni wakaidi, wasijiinue wenyewe.+ Sela.

  • Methali 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+

  • Methali 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,+ yakiwaangalia wabaya na wema.+

  • Waebrania 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hakuna kiumbe kisichokuwa wazi machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pake yeye ambaye tunatoa hesabu kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki