2 Mambo ya Nyakati 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na Hezekia akatuma ujumbe kwa Israeli+ wote na Yuda, na hata akaandika barua kwa Efraimu+ na Manase,+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova+ ili kumfanyia pasaka+ Yehova Mungu wa Israeli. 2 Mambo ya Nyakati 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Pia, katika majiji ya Manase+ na Efraimu+ na Simeoni na mpaka Naftali, katika mahali pao palipoharibiwa kuzunguka pande zote,
30 Na Hezekia akatuma ujumbe kwa Israeli+ wote na Yuda, na hata akaandika barua kwa Efraimu+ na Manase,+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova+ ili kumfanyia pasaka+ Yehova Mungu wa Israeli.
6 Pia, katika majiji ya Manase+ na Efraimu+ na Simeoni na mpaka Naftali, katika mahali pao palipoharibiwa kuzunguka pande zote,