Kumbukumbu la Torati 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe utatoa dhabihu ya pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ mnyama wa kundi na wa mifugo,+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua kuweka jina lake.+ Kumbukumbu la Torati 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Bali mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua ili jina lake likae,+ hapo utatoa dhabihu ya pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uliowekwa wa kutoka kwenu Misri.
2 Nawe utatoa dhabihu ya pasaka kwa Yehova Mungu wako,+ mnyama wa kundi na wa mifugo,+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua kuweka jina lake.+
6 Bali mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua ili jina lake likae,+ hapo utatoa dhabihu ya pasaka wakati wa jioni mara tu baada ya jua kutua,+ wakati uliowekwa wa kutoka kwenu Misri.