19 Na pia nyumba+ zote za mahali pa juu zilizokuwa katika majiji+ ya Samaria ambazo wafalme+ wa Israeli walijenga ili kusababisha uchungu+ Yosia akaziondoa, naye akazitendea kulingana na matendo yote aliyotenda kule Betheli.+
30Na Hezekia akatuma ujumbe kwa Israeli+ wote na Yuda, na hata akaandika barua kwa Efraimu+ na Manase,+ waje Yerusalemu katika nyumba ya Yehova+ ili kumfanyia pasaka+ Yehova Mungu wa Israeli.