Yoshua 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na kulikuwa na mafungu kumi kwa ajili ya Manase mbali na nchi ya Gileadi na Bashani, zilizokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani;+ Yoshua 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mpaka wa Manase ukawa kutoka Asheri hadi Mikmethathi,+ eneo lililo mbele ya Shekemu,+ na mpaka huo ukasonga kuelekea upande wa kuume kwa wakaaji wa En-Tapua. 2 Mambo ya Nyakati 30:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni watu mmoja mmoja+ tu kutoka Asheri na Manase na kutoka Zabuloni waliojinyenyekeza,+ hivi kwamba wakaja Yerusalemu.
5 Na kulikuwa na mafungu kumi kwa ajili ya Manase mbali na nchi ya Gileadi na Bashani, zilizokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani;+
7 Na mpaka wa Manase ukawa kutoka Asheri hadi Mikmethathi,+ eneo lililo mbele ya Shekemu,+ na mpaka huo ukasonga kuelekea upande wa kuume kwa wakaaji wa En-Tapua.
11 Ni watu mmoja mmoja+ tu kutoka Asheri na Manase na kutoka Zabuloni waliojinyenyekeza,+ hivi kwamba wakaja Yerusalemu.