Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na kulikuwa na mafungu kumi kwa ajili ya Manase mbali na nchi ya Gileadi na Bashani, zilizokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani;+

  • Yoshua 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na mpaka wa Manase ukawa kutoka Asheri hadi Mikmethathi,+ eneo lililo mbele ya Shekemu,+ na mpaka huo ukasonga kuelekea upande wa kuume kwa wakaaji wa En-Tapua.

  • 2 Mambo ya Nyakati 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni watu mmoja mmoja+ tu kutoka Asheri na Manase na kutoka Zabuloni waliojinyenyekeza,+ hivi kwamba wakaja Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki