2 Mambo ya Nyakati 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale waliowafuata kutoka katika makabila yote ya Israeli, ambao walikuwa wakitoa moyo wao kumtafuta Yehova Mungu wa Israeli, wakaja Yerusalemu+ kumtolea dhabihu+ Yehova Mungu wa mababu zao.
16 Na wale waliowafuata kutoka katika makabila yote ya Israeli, ambao walikuwa wakitoa moyo wao kumtafuta Yehova Mungu wa Israeli, wakaja Yerusalemu+ kumtolea dhabihu+ Yehova Mungu wa mababu zao.