Yoshua 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mpaka wa Manase ulianzia Asheri hadi Mikmethathi,+ mbele ya Shekemu,+ na kuendelea hadi upande wa kusini* wa nchi ya wakaaji wa En-Tapua.
7 Na mpaka wa Manase ulianzia Asheri hadi Mikmethathi,+ mbele ya Shekemu,+ na kuendelea hadi upande wa kusini* wa nchi ya wakaaji wa En-Tapua.