7 Basi wakatenga majiji haya kuwa matakatifu: Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.
24Kisha Yoshua akayakusanya makabila yote ya Israeli huko Shekemu, akawaita wazee wote wa Israeli, viongozi wao, waamuzi wao, na wakuu wao,+ nao wakasimama mbele za Mungu wa kweli.
66 Baadhi ya koo za Wakohathi zilipewa majiji kutoka katika kabila la Efraimu, yakawa maeneo yao.+67 Waliwapa majiji ya* makimbilio, Shekemu+ na malisho yake katika eneo lenye milima la Efraimu, Gezeri+ na malisho yake,