Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakatenga majiji haya kuwa matakatifu: Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

  • Yoshua 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kisha Yoshua akayakusanya makabila yote ya Israeli huko Shekemu, akawaita wazee wote wa Israeli, viongozi wao, waamuzi wao, na wakuu wao,+ nao wakasimama mbele za Mungu wa kweli.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:66, 67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Baadhi ya koo za Wakohathi zilipewa majiji kutoka katika kabila la Efraimu, yakawa maeneo yao.+ 67 Waliwapa majiji ya* makimbilio, Shekemu+ na malisho yake katika eneo lenye milima la Efraimu, Gezeri+ na malisho yake,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki