Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:20-26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Walawi waliobaki wa koo za Wakohathi walipewa majiji kwa kura katika eneo la kabila la Efraimu. 21 Waliwapa jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Shekemu+ na malisho yake katika eneo lenye milima la Efraimu, Gezeri+ na malisho yake, 22 Kibsaimu na malisho yake, na Beth-horoni+ na malisho yake—majiji manne.

      23 Na katika eneo la kabila la Dani: Elteke na malisho yake, Gibethoni na malisho yake, 24 Aiyaloni+ na malisho yake, Gath-rimoni na malisho yake—majiji manne.

      25 Na katika eneo la nusu ya kabila la Manase: Taanaki+ na malisho yake na Gath-rimoni na malisho yake—majiji mawili.

      26 Koo zilizobaki za Wakohathi zilipewa jumla ya majiji kumi na malisho yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki