Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ni siku hiyo, siku ambayo Yehova aliwashinda kabisa Waamori mbele ya Waisraeli, ndipo Yoshua alipomwambia hivi Yehova mbele ya Waisraeli:

      “Jua, simama tuli+ juu ya Gibeoni,+

      Na mwezi, juu ya Bonde la* Aiyaloni.”

  • Waamuzi 1:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa hiyo Waamori hawakukubali kutoka kwenye Mlima Heresi, na Aiyaloni,+ na Shaalbimu.+ Lakini watu wa nyumba ya Yosefu walipopata nguvu zaidi, waliwatumikisha.

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wafilisti+ walivamia pia majiji ya Shefela+ na Negebu nchini Yuda na kuteka Beth-shemeshi,+ Aiyaloni,+ Gederothi, Soko na miji yake, Timna+ na miji yake, na Gimzo na miji yake; nao wakaanza kuishi humo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki