Yoshua 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi wakatenga majiji haya kuwa matakatifu: Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda. 1 Wafalme 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Rehoboamu alienda Shekemu, kwa maana Waisraeli wote walikuwa wamekuja Shekemu+ kumfanya kuwa mfalme.+
7 Basi wakatenga majiji haya kuwa matakatifu: Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.
12 Rehoboamu alienda Shekemu, kwa maana Waisraeli wote walikuwa wamekuja Shekemu+ kumfanya kuwa mfalme.+