Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Abramu akasafiri nchini mpaka eneo la Shekemu,+ karibu na miti mikubwa ya More.+ Wakati huo Wakanaani walikuwa katika nchi hiyo.

  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakatenga majiji haya kuwa matakatifu: Kedeshi+ kule Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

  • Yoshua 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hayo ndiyo majiji yaliyochaguliwa kwa ajili ya Waisraeli wote na wageni walioishi kati yao, ili mtu yeyote atakayemuua mwenzake bila kukusudia akimbilie humo,+ ili asiuawe na mtu anayetaka kulipiza kisasi cha damu mpaka kesi yake isikilizwe mbele ya kusanyiko.+

  • Waamuzi 9:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya muda Abimeleki+ mwana wa Yerubaali akaenda Shekemu kwa ndugu za mama yake na kwa familia yote ya babu yake,* akawaambia hivi: 2 “Tafadhali waulizeni viongozi wote* wa Shekemu, ‘Je, ni afadhali zaidi kwenu kutawaliwa na wana wote 70 wa Yerubaali+ au na mtu mmoja tu? Kumbukeni kwamba mimi ni mfupa wenu na nyama yenu.’”*

  • Matendo 7:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Yakobo akashuka kwenda Misri,+ naye akafa akiwa huko,+ na pia mababu zetu.+ 16 Wakabebwa mpaka Shekemu na kulazwa katika kaburi ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kwa kiasi fulani cha fedha kutoka kwa wana wa Hamori huko Shekemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki