-
2 Mambo ya Nyakati 10:1-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Rehoboamu alienda Shekemu,+ kwa maana Waisraeli wote walikuwa wamekuja Shekemu kumfanya kuwa mfalme.+ 2 Mara tu Yeroboamu+ mwana wa Nebati aliposikia habari hizo (bado alikuwa akiishi Misri kwa sababu alikuwa amemkimbia Mfalme Sulemani),+ akarudi kutoka Misri. 3 Ndipo wakawatuma watu waende kumwita, kisha Yeroboamu na Waisraeli wote wakaja kwa Rehoboamu na kumwambia hivi: 4 “Baba yako aliifanya nira yetu kuwa nzito.+ Lakini ukiufanya utumishi mzito wa baba yako kuwa mwepesi zaidi na kupunguza nira nzito* aliyotutwika, tutakutumikia.”
-