Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na wana wa Yosefu,+ Manase na Efraimu,+ wakaanza kuimiliki nchi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akaweka majeshi katika majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuweka kambi za kijeshi katika nchi ya Yuda na katika majiji ya Efraimu ambayo Asa baba yake alikuwa ameyateka.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Pia, katika majiji ya Manase+ na Efraimu+ na Simeoni na mpaka Naftali, katika mahali pao palipoharibiwa kuzunguka pande zote,

  • Hosea 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Nawezaje kukuacha, Ee Efraimu?+ Nawezaje kukutoa, Ee Israeli?+ Nawezaje kukufanya uwe kama Adma?+ Nawezaje kukuweka uwe kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika ndani yangu;+ na wakati huohuo huruma zangu zimewaka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki