Yoshua 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana wana wa Yosefu walikuwa wamekuwa makabila mawili,+ Manase+ na Efraimu;+ nao hawakuwa wamewapa Walawi fungu katika nchi, isipokuwa majiji+ ya kukaa na viwanja vyao vya malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+
4 Kwa maana wana wa Yosefu walikuwa wamekuwa makabila mawili,+ Manase+ na Efraimu;+ nao hawakuwa wamewapa Walawi fungu katika nchi, isipokuwa majiji+ ya kukaa na viwanja vyao vya malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+