5 Na sasa wana wako wawili waliozaliwa katika nchi ya Misri kabla sijaja hapa kwako Misri ni wangu.+ Efraimu na Manase watakuwa wangu kama vile Rubeni na Simeoni.+
14 Na ndipo wana wa Yosefu wakasema na Yoshua, wakamwambia: “Kwa nini umenipa kura+ moja na fungu moja kuwa urithi wangu, ingawa mimi nina watu wengi sana kwa kuwa Yehova amenibariki mpaka sasa?”+