18 Kwa maana idadi kubwa ya watu, hasa wale waliotoka Efraimu, Manase,+ Isakari, na Zabuloni, hawakuwa wamejitakasa, lakini bado walikula Pasaka, kinyume cha mambo yaliyoandikwa. Lakini Hezekia alisali kwa ajili yao, akisema: “Yehova, wewe uliye mwema,+ msamehe