Yoshua 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo yeye akasema: “Hapana, lakini mimi—nikiwa mkuu wa jeshi la Yehova nimekuja sasa.”+ Basi Yoshua akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kumwambia: “Bwana wangu anamwambia nini mtumishi wake?” Danieli 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi nami nikasikia, lakini sikuweza kuelewa;+ basi nikauliza: “Ee bwana wangu, mwisho wa mambo hayo utakuwa nini?”+
14 Ndipo yeye akasema: “Hapana, lakini mimi—nikiwa mkuu wa jeshi la Yehova nimekuja sasa.”+ Basi Yoshua akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kumwambia: “Bwana wangu anamwambia nini mtumishi wake?”
8 Mimi nami nikasikia, lakini sikuweza kuelewa;+ basi nikauliza: “Ee bwana wangu, mwisho wa mambo hayo utakuwa nini?”+