Danieli 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo akaja kando ya mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Naye akaniambia: “Elewa,+ Ee mwana wa binadamu,+ kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+ Danieli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nimekuja kukufanya utambue mambo yatakayowapata watu wako+ katika siku za mwisho,+ kwa kuwa hayo bado ni maono+ ya siku ambazo zitakuja.”+
17 Kwa hiyo akaja kando ya mahali nilipokuwa nimesimama, lakini alipokuja niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Naye akaniambia: “Elewa,+ Ee mwana wa binadamu,+ kwamba maono hayo ni ya wakati wa mwisho.”+
14 Nami nimekuja kukufanya utambue mambo yatakayowapata watu wako+ katika siku za mwisho,+ kwa kuwa hayo bado ni maono+ ya siku ambazo zitakuja.”+