Luka 18:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hata hivyo, wao hawakupata maana ya lolote kati ya mambo hayo; lakini walikuwa wamefichwa maneno hayo, nao hawakujua mambo yaliyosemwa.+ Matendo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Akawaambia: “Si juu yenu kujua nyakati au majira+ ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe;+ 1 Petro 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waliendelea kuchunguza ni majira gani hasa+ au ni majira ya namna gani ambayo roho+ iliyokuwa ndani yao ilikuwa ikionyesha kumhusu Kristo+ ilipokuwa ikitoa ushahidi kimbele juu ya mateso ya Kristo+ na juu ya utukufu+ ambao ungefuata hayo.
34 Hata hivyo, wao hawakupata maana ya lolote kati ya mambo hayo; lakini walikuwa wamefichwa maneno hayo, nao hawakujua mambo yaliyosemwa.+
7 Akawaambia: “Si juu yenu kujua nyakati au majira+ ambayo Baba ameweka katika mamlaka yake mwenyewe;+
11 Waliendelea kuchunguza ni majira gani hasa+ au ni majira ya namna gani ambayo roho+ iliyokuwa ndani yao ilikuwa ikionyesha kumhusu Kristo+ ilipokuwa ikitoa ushahidi kimbele juu ya mateso ya Kristo+ na juu ya utukufu+ ambao ungefuata hayo.