Marko 9:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, walikuwa hawaelewi maneno hayo, nao waliogopa kumuuliza.+ Yohana 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu aliwaambia mfano huo; lakini hawakujua mambo aliyowaambia yalimaanisha nini.+