Yohana 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Nimewaambia ninyi mambo haya kwa mifano.+ Saa inakuja wakati ambapo hakika sitasema nanyi tena kwa mifano, bali nitawaeleza waziwazi kuhusu Baba.
25 “Nimewaambia ninyi mambo haya kwa mifano.+ Saa inakuja wakati ambapo hakika sitasema nanyi tena kwa mifano, bali nitawaeleza waziwazi kuhusu Baba.