Kumbukumbu la Torati 29:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Mambo yaliyofichwa+ ni ya Yehova Mungu wetu, bali mambo yaliyofunuliwa+ ni yetu na wana wetu mpaka wakati usio na kipimo, ili tupate kuyatimiza maneno yote ya sheria hii.+ Mathayo 24:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Kuhusu siku ile na saa+ ile hakuna mtu anayejua, wala malaika wa mbinguni wala Mwana, ila Baba tu.+
29 “Mambo yaliyofichwa+ ni ya Yehova Mungu wetu, bali mambo yaliyofunuliwa+ ni yetu na wana wetu mpaka wakati usio na kipimo, ili tupate kuyatimiza maneno yote ya sheria hii.+
36 “Kuhusu siku ile na saa+ ile hakuna mtu anayejua, wala malaika wa mbinguni wala Mwana, ila Baba tu.+