Isaya 55:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kwa maana mawazo yenu si mawazo yangu,+ wala njia zangu si njia zenu,”+ asema Yehova. Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika! 1 Wakorintho 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,+ ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili+ ya Kristo.
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,+ ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili+ ya Kristo.