27 Baba yangu amenipa mimi vitu vyote,+ na hakuna yeyote anayemjua Mwana kabisa ila Baba,+ wala yeyote hamjui Baba kabisa ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana anapenda kumfunulia.+
5 Katika vizazi vingine siri hii+ haikujulishwa kwa wana wa binadamu kama vile ambavyo imefunuliwa+ sasa kwa mitume wake watakatifu na manabii+ kupitia roho,