12 “Na itatukia kwamba Yehova atakapokomesha kazi yake yote katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu, ndipo nitakapotoza hesabu kwa ajili ya matunda ya dharau la moyo wa mfalme wa Ashuru na kwa ajili ya kujihesabia makuu kwa majivuno ya macho yake.+
Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi kuhusu Edomu:+ “Kuna habari ambayo tumesikia kutoka kwa Yehova, na kuna mjumbe ambaye ametumwa kati ya mataifa, ‘Simameni, na tusimame tupigane naye.’ ”+