Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kuna habari ambayo nimesikia kutoka kwa Yehova, na kuna mjumbe ambaye ametumwa kati ya mataifa, kusema: “Jikusanyeni pamoja, mje juu yake, na msimame kupigana.”+

  • Obadia 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana siku ya Yehova juu ya mataifa yote iko karibu.+ Kama ulivyofanya, ndivyo utakavyofanyiwa.+ Matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako mwenyewe.+

  • Malaki 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Kwa sababu Edomu anaendelea kusema, ‘Tumevunjwa-vunjwa, lakini tutarudi na kujenga mahali palipoharibiwa,’ Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Wao watajenga; lakini mimi nitabomoa.+ Na watu watawaita wao kuwa “eneo la uovu” na “watu ambao Yehova ameshutumu+ mpaka wakati usio na kipimo.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki