Isaya 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Yehova atakapomaliza kazi yake yote kwenye Mlima Sayuni na Yerusalemu, atamwadhibu* mfalme wa Ashuru kwa sababu ya moyo wake wenye dharau na macho yake yanayotazama kwa kiburi na majivuno.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:12 g 12/10 27-28; ip-1 147-148 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:12 Amkeni!,12/2010, kur. 27-28 Unabii wa Isaya 1, kur. 147-148
12 “Yehova atakapomaliza kazi yake yote kwenye Mlima Sayuni na Yerusalemu, atamwadhibu* mfalme wa Ashuru kwa sababu ya moyo wake wenye dharau na macho yake yanayotazama kwa kiburi na majivuno.+