2 Wafalme 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Rabshake akawaambia: “Tafadhali, mwambieni hivi Hezekia: ‘Mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru, anauliza, “Ujasiri wako unategemea msingi gani?+ 2 Wafalme 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kisha Rabshake akasimama na kusema hivi kwa sauti kubwa kwa lugha ya Wayahudi: “Sikieni neno la mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru.+ 2 Wafalme 18:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ni mungu yupi kati ya miungu yote ya nchi mbalimbali ambaye ameokoa nchi yake kutoka mikononi mwangu, hivi kwamba Yehova aokoe Yerusalemu kutoka mikononi mwangu?”’”+
19 Basi Rabshake akawaambia: “Tafadhali, mwambieni hivi Hezekia: ‘Mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru, anauliza, “Ujasiri wako unategemea msingi gani?+
28 Kisha Rabshake akasimama na kusema hivi kwa sauti kubwa kwa lugha ya Wayahudi: “Sikieni neno la mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru.+
35 Ni mungu yupi kati ya miungu yote ya nchi mbalimbali ambaye ameokoa nchi yake kutoka mikononi mwangu, hivi kwamba Yehova aokoe Yerusalemu kutoka mikononi mwangu?”’”+