19 Basi Rabshake+ akawaambia: “Tafadhali, mwambieni Hezekia, ‘Mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru, amesema hivi: “Ni tumaini gani hili ambalo umelitegemea?+
35 Ni miungu gani kati ya miungu yote ya nchi ambayo imeikomboa nchi yao kutoka mkononi mwangu,+ hivi kwamba Yehova akomboe Yerusalemu kutoka mkononi mwangu?”’”+