10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu+ halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+
7 Nawe ukiniambia, ‘Tumemtegemea Yehova Mungu wetu,’ je, yeye siye ambaye mahali pake pa juu+ na madhabahu zake Hezekia ameondoa,+ huku akiwaambia Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii’?”’+
10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+