Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu+ halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Senakeribu mfalme wa Ashuru amesema hivi,+ ‘Ni kitu gani mnachokitegemea huku mkiketi kimya katika Yerusalemu mkiwa mmezingirwa?+

  • Zaburi 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Enyi wana wa watu, utukufu+ wangu utatukanwa mpaka wakati gani,

      Huku mkiendelea kupenda mambo ya upuuzi,

      Huku mkiendelea kutafuta uwongo? Sela.

  • Isaya 36:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nawe ukiniambia, ‘Tumemtegemea Yehova Mungu wetu,’ je, yeye siye ambaye mahali pake pa juu+ na madhabahu zake Hezekia ameondoa,+ huku akiwaambia Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii’?”’+

  • Isaya 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki