Zaburi 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+ Isaya 36:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi Rabshake akawaambia: “Tafadhali, mwambieni Hezekia, ‘Mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru,+ amesema hivi: “Ni tumaini gani hili ambalo umelitegemea?+
39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+
4 Basi Rabshake akawaambia: “Tafadhali, mwambieni Hezekia, ‘Mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru,+ amesema hivi: “Ni tumaini gani hili ambalo umelitegemea?+