Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Alimtegemea Yehova Mungu wa Israeli;+ na baada yake hapakuwa na yeyote kama yeye kati ya wafalme wote wa Yuda,+ hata wale waliomtangulia.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na sasa msiache Hezekia awadanganye+ wala kuwashawishi+ ninyi hivyo wala msimwamini, kwa maana hakuna mungu yeyote wa taifa lolote au ufalme aliyeweza kuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu na kutoka mkononi mwa mababu zangu. Basi, Mungu wenu atawezaje kuwakomboa ninyi kutoka mkononi mwangu!’”+

  • Zaburi 22:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Yeye alijitia mikononi mwa Yehova.+ Acha Yeye amwokoe!+

      Na amkomboe, kwa kuwa yeye amependezwa naye!”+

  • Isaya 36:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Rabshake akawaambia: “Tafadhali, mwambieni Hezekia, ‘Mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru,+ amesema hivi: “Ni tumaini gani hili ambalo umelitegemea?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki