Zaburi 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+ Zaburi 91:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+
19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+
14 Kwa sababu ameweka upendo wake juu yangu,+Mimi nitamwokoa pia.+Nitamlinda kwa sababu amelijua jina langu.+