2 Wafalme 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mfalme amesema hivi, ‘Msiache Hezekia awadanganye ninyi, kwa maana hawezi kuwakomboa kutoka mkononi mwangu.+ 2 Wafalme 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu+ halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+
29 Mfalme amesema hivi, ‘Msiache Hezekia awadanganye ninyi, kwa maana hawezi kuwakomboa kutoka mkononi mwangu.+
10 “Mwambieni hivi Hezekia mfalme wa Yuda, ‘Usiache Mungu unayemtegemea akudanganye,+ na kusema: “Yerusalemu+ halitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.”+