2 Wafalme 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mfalme anasema hivi: ‘Msikubali Hezekia awadanganye, kwa maana hawezi kuwaokoa kutoka mikononi mwangu.+
29 Mfalme anasema hivi: ‘Msikubali Hezekia awadanganye, kwa maana hawezi kuwaokoa kutoka mikononi mwangu.+