Zaburi 42:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa nini umekata tamaa, Ee nafsi yangu,+Na kwa nini una msukosuko ndani yangu?+Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kuwa ndiye wokovu wangu mkuu.+ Isaya 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+ Maombolezo 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ni jambo jema kwa mtu kuungojea,+ ndiyo, kimyakimya,+ wokovu wa Yehova.+
5 Kwa nini umekata tamaa, Ee nafsi yangu,+Na kwa nini una msukosuko ndani yangu?+Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kuwa ndiye wokovu wangu mkuu.+
20 “Nendeni, watu wangu, ingia katika vyumba vyako vya ndani, na ufunge milango nyuma yako.+ Jifiche kwa kitambo kidogo mpaka hukumu itakapopita.+