Zaburi 42:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa nini nimesononeka?+ Kwa nini msukosuko huu umo ndani yangu? Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kwa kuwa yeye ni Mwokozi wangu Mtukufu.+ Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 42:5 Mnara wa Mlinzi,1/15/1995, uku. 19
5 Kwa nini nimesononeka?+ Kwa nini msukosuko huu umo ndani yangu? Mngojee Mungu,+Kwa maana bado nitamsifu kwa kuwa yeye ni Mwokozi wangu Mtukufu.+