Zaburi 55:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Moyo wangu una maumivu makali,+Na hofu ya kifo inanilemea.+ Marko 14:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Akawaambia: “Nimehuzunika* sana,+ kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha.”+