Yohana 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Pia, mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo.+ Yakobo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wao hulikufuru+ lile jina zuri ambalo kwa hilo mliitwa,+ sivyo?
11 “Pia, mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo.+