13 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama! Watumishi wangu watakula,+ lakini ninyi mtakuwa na njaa.+ Tazama! Watumishi wangu watakunywa,+ lakini ninyi mtakuwa na kiu.+ Tazama! Watumishi wangu watashangilia,+ lakini ninyi mtaona aibu.+
13 Ee Yehova, tumaini la Israeli,+ wale wote wanaokuacha watapatwa na aibu.+ Wale wanaoniasi+ wataandikwa katika mavumbi, kwa sababu wameiacha chemchemi ya maji yaliyo hai, Yehova.+
18 Wale wanaonitesa na wapatwe na aibu,+ lakini mimi binafsi nisipate aibu.+ Waache wao waingiwe na hofu, lakini mimi binafsi nisiingiwe na hofu. Leta juu yao ile siku ya msiba,+ na kuwavunja kwa mvunjiko mara mbili.+