Zaburi 104:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+ Zekaria 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova wa majeshi mwenyewe atawalinda wao, nao watakula+ na kuyatiisha mawe ya kombeo. Nao watakunywa+—wafanye kelele—kana kwamba kuna divai; nao watajazwa kama bakuli, kama pembe za madhabahu.+
15 Na divai ambayo hufanya moyo wa mwanadamu anayeweza kufa ushangilie,+Kuufanya uso ung’ae kwa mafuta,+Na mkate unaotegemeza moyo wa mwanadamu anayeweza kufa.+
15 Yehova wa majeshi mwenyewe atawalinda wao, nao watakula+ na kuyatiisha mawe ya kombeo. Nao watakunywa+—wafanye kelele—kana kwamba kuna divai; nao watajazwa kama bakuli, kama pembe za madhabahu.+