Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo mzabibu ukaiambia, ‘Je, niiache divai yangu mpya ambayo humfurahisha Mungu na wanadamu,+ na je, niende kuwayawaya juu ya miti?’

  • 2 Samweli 13:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha Absalomu akawaamuru watumishi wake, akisema: “Tafadhali, angalieni kwamba mara tu moyo wa Amnoni utakapochangamka kwa divai,+ nami niwaambie, ‘Mpigeni Amnoni!’ Ndipo ninyi mtakapomuua. Msiogope.+ Je, mimi sikuwaamuru? Iweni na nguvu, na muwe wanaume mashujaa.”

  • Esta 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku ya saba, moyo wa mfalme ulipokuwa umechangamshwa na divai,+ aliwaambia Mehumani, Biztha, Harbona,+ Bigtha na Abagtha, Zethari na Karkasi, wale maofisa saba wa makao ya mfalme waliokuwa wakihudumu+ mbele ya Mfalme Ahasuero,

  • Methali 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mpeni kileo mtu yeyote anayekaribia kuangamia+ na kuwapa divai watu wenye uchungu katika nafsi.+

  • Mhubiri 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nikachunguza kwa moyo wangu kwa kuuchangamsha mwili wangu kwa divai,+ huku nikiuongoza moyo wangu kwa hekima,+ hata nipate kushika upumbavu mpaka nione kuna faida gani kwa wana wa binadamu katika mambo waliyofanya chini ya mbingu siku za maisha yao.+

  • Mhubiri 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nenda, ukale chakula chako kwa kushangilia na kunywa divai yako kwa moyo mchangamfu,+ kwa sababu tayari Mungu wa kweli amependezwa na kazi zako.+

  • Mhubiri 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki