15 Siku saba utamfanyia Yehova Mungu wako sherehe+ katika mahali ambapo Yehova atapachagua, kwa sababu Yehova Mungu wako atakubariki+ katika mazao yako yote na katika kila tendo la mkono wako, nawe utakuwa na shangwe kwelikweli.+
17 ijapokuwa, kwa kweli, hakujiacha mwenyewe bila ushahidi kwa kuwa alitenda mema,+ akiwapa ninyi mvua+ kutoka mbinguni na majira yenye kuzaa matunda, akijaza mioyo yenu kikamili kwa chakula na uchangamfu.”+